Stak kunyanyasika!

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
Nilikuwa nikiishi nae nyumbani kama
Mimi mume na yeye mke...kashifa na vituko.
Vyake vimenishinda vya kunirudia usiku amelewa aiwezekani..na stak kashifa na vituko vyake sijasahau.
Leo niko na mwingine anataka kurudi aiwezekani alinidharau, namwambia kweli japo kipato chake na changu avifanani sipendi kunyanyasika, nimebadilika nini hii leo, masikini na wanangu yeye tajiri abaki na mali zake, kwa nini aninyanyase mfyuuuuuu.
 
Reactions: Auz
Inaonesha bado unampenda ndo maan umemwanzishia Uzi humu..maelezo yako yanaonesha issue kubwa ni kipato ,pambana kutafuta heshima itakufata... BTW pole mkuu kwa kunyanyaswa!
 
Inaonesha bado unampenda ndo maan umemwanzishia Uzi humu..maelezo yako yanaonesha issue kubwa ni kipato ,pambana kutafuta heshima itakufata... BTW pole mkuu kwa kunyanyaswa!
Mapenzi sio pesa mkuu, sema makundi ndio yamempotezea network.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…