Stalker hadi kwenye simu

Stalker hadi kwenye simu

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Kuna watu wanashangaza sana.
Unakuta mtu anahangaika kuitafuta namba yako hadi anaipata.
Halafu akishaipata anaanza kukupigia simu.
Na kila ukipokea na kusema 'haloo' mwenzio anakata simu.

Halafu akiwa anapiga anakuwa ameficha [ame block] namba yake isionekane kwenye caller ID yako.
Anaweza kukupigia simu hata mara nne ndani ya wiki.
Siku zingine akipiga ukipokea na kusema 'haloo' naye anaitikia na kusema 'haloo' halafu anakata.

Na sauti yenyewe hiyo ya upande wa pili ni ya mdada.
Sasa wewe mdada...kama wewe ni fan wa NN si ujitambulishe tu....
Kwa nini unahangaika na kunipigia halafu nikipokea husemi kitu?
Unaogopa nini? Mimi sing'ati bana.

Kama huwezi kusema chochote ni bora uache tu kunipigia.
Natumaini safari ijayo ukipiga walau utasema lolote....sawa bibie?

Talk to you soon.
 
Labda anataka we [HASHTAG]#USAbaby[/HASHTAG] umsaidie kuondoka huku kwa wala vumbi
 
Labda anataka we [HASHTAG]#USAbaby[/HASHTAG] umsaidie kuondoka huku kwa wala vumbi

Sasa nitamsaidiaje kama hasemi chochote.

Anakera sana na huo ukimya wake.

Ila labda huenda anaipenda sauti yangu...yaani anapenda tu kuisikia ikisema 'haloo'.

Wachuchu huwa wanasema ni nzito na yenye kuongeza joto flani hivi...
 
Anakupenda sana
Secret admirer

Tupo wa design iyo
 
Bila shaka huyo atakuwa ni Dinazarde mkuu![emoji1]......believe me!![emoji1]......JF inazua mengi!![emoji30]
 
Anakupenda sana
Secret admirer

Tupo wa design iyo

Najua secret admirers ninao wengi sana....ninao all over the world from all walks of life.

But damn!

If someone calls me they better say something...nah'I mean?
 
Huwenda mello kawapa details zako mkuu kuwa makini Nyani ngabu wetu.
 
Sasa nitamsaidiaje kama hasemi chochote.

Anakera sana na huo ukimya wake.

Ila labda huenda anaipenda sauti yangu...yaani anapenda tu kuisikia ikisema 'haloo'.

Wachuchu huwa wanasema ni nzito na yenye kuongeza joto flani hivi...

Haa umetumia neno 'wachuchu', hilo lilikuwa maarufu miaka ya mwisho wa sitini.
 
Seems you look forward to them too, no?

Nah not really but then again it depends on whether they are smashable [to coin a word] or not.

But if they are just fans of me, I ain't got no problem with that either.

I'm always game to chop it up with whoever....I never discriminate.

I'm a cool cat.
 
Sasa nitamsaidiaje kama hasemi chochote.

Anakera sana na huo ukimya wake.

Ila labda huenda anaipenda sauti yangu...yaani anapenda tu kuisikia ikisema 'haloo'.

Wachuchu huwa wanasema ni nzito na yenye kuongeza joto flani hivi...

Kitengo kinataka kujua upo location gani,
 
Back
Top Bottom