Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kuna watu wanashangaza sana.
Unakuta mtu anahangaika kuitafuta namba yako hadi anaipata.
Halafu akishaipata anaanza kukupigia simu.
Na kila ukipokea na kusema 'haloo' mwenzio anakata simu.
Halafu akiwa anapiga anakuwa ameficha [ame block] namba yake isionekane kwenye caller ID yako.
Anaweza kukupigia simu hata mara nne ndani ya wiki.
Siku zingine akipiga ukipokea na kusema 'haloo' naye anaitikia na kusema 'haloo' halafu anakata.
Na sauti yenyewe hiyo ya upande wa pili ni ya mdada.
Sasa wewe mdada...kama wewe ni fan wa NN si ujitambulishe tu....
Kwa nini unahangaika na kunipigia halafu nikipokea husemi kitu?
Unaogopa nini? Mimi sing'ati bana.
Kama huwezi kusema chochote ni bora uache tu kunipigia.
Natumaini safari ijayo ukipiga walau utasema lolote....sawa bibie?
Talk to you soon.
Unakuta mtu anahangaika kuitafuta namba yako hadi anaipata.
Halafu akishaipata anaanza kukupigia simu.
Na kila ukipokea na kusema 'haloo' mwenzio anakata simu.
Halafu akiwa anapiga anakuwa ameficha [ame block] namba yake isionekane kwenye caller ID yako.
Anaweza kukupigia simu hata mara nne ndani ya wiki.
Siku zingine akipiga ukipokea na kusema 'haloo' naye anaitikia na kusema 'haloo' halafu anakata.
Na sauti yenyewe hiyo ya upande wa pili ni ya mdada.
Sasa wewe mdada...kama wewe ni fan wa NN si ujitambulishe tu....
Kwa nini unahangaika na kunipigia halafu nikipokea husemi kitu?
Unaogopa nini? Mimi sing'ati bana.
Kama huwezi kusema chochote ni bora uache tu kunipigia.
Natumaini safari ijayo ukipiga walau utasema lolote....sawa bibie?
Talk to you soon.