Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
He,heh...
We nenda tu, vale hana shida.
Anamjua hubby wake alivyo.
Itakua mji mkuu wa mwilihaaaa nawaza hilo joto linaongezeka maeneo gani..?
nyani ngabu anioe ? hapana kwa kweli simuwezi hata sijawai kumuadmire kwenye mind namuona yupo complicated sana
You good aseeI am the most lovable, huggable, harmless little fuzzball you can find walking the face of the earth.
There is no need to fear me. None whatsoever.
Koh,koh...Kumbe yeye ndio mmiliki halali wa the most lovable, huggable, harmless man
nyani ngabu anioe ? hapana kwa kweli simuwezi hata sijawai kumuadmire kwenye mind namuona yupo complicated sana
Haàaaa DanpolItakua mji mkuu wa mwili
Ahahaa...look who's talking! The pot calling the kettle black.
You ain't got no room to talk about me being complicated and all that jazz.
Let others do that but definitely not you.
However, in the abstract, you have a point for I am a riddle wrapped in mystery inside an enigma.
nyani is too much yaani.kwangu mimi lakini ! namuona ni mtu flani hivi ambae yaani anajua kila kitu yaani yupo above kila kitu mimi napenda mtu 50/50 fala fala sio fala anajua kumbe hajui ! hivo yaani ila huyu nyani ngabu na yule jamaa naitwa The Boss hawa jamaa hawafai kwa matumizi huwadanganyi ,hupumuiComplications ( to some extent) , ni kitu kizuri . Mwanaume akiwa straight forward utakuwa bored mapema mno .
You good asee
Nahisi ndio maana kila ulipo wapo wanakuadmire
nyani is too much yaani.kwangu mimi lakini ! namuona ni mtu flani hivi ambae yaani anajua kila kitu yaani yupo above kila kitu mimi napenda mtu 50/50 fala fala sio fala anajua kumbe hajui ! hivo yaani ila huyu nyani ngabu na yule jamaa naitwa The Boss hawa jamaa hawafai kwa matumizi huwadanganyi ,hupumui
Halaf hajui dina ndio Ngabu wanatupenda hawaaa
Halaf hajui dina ndio Ngabu wanatupenda hawaaa
Nakupenda weweee [emoji8][emoji8][emoji8]hizi ndio thread ambazo watawala wanazitaka.tukienda hivi,max ataachiwa haraka sana.
Mi nakupa hiiiNa be wash...you likey Versace
Baby nachi, me n you we wear to match
Ntakukata mapum,,,,, ohooooMi mwenyewe naanza kuku admire wewe Jo....
Ntakukata mapum,,,,, ohoooo
Mi naongea nae kila siku kila saa [emoji12][emoji13]Bila shaka huyo atakuwa ni Dinazarde mkuu![emoji1]......believe me!![emoji1]......JF inazua mengi!![emoji30]
Wewe mi sijui habari za watuOyaa..halafu kale kabinti hakajambo?