Nakupenda pia dina....I LOVE YOUUUUUU[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]Nakupenda weweee [emoji8][emoji8][emoji8]
Aisee nalala vyemaa,,hapa wataanza kunionea wivuNakupenda pia dina....I LOVE YOUUUUUU[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]
Wewe mi sijui habari za watu
haya lala usingizi mnono mtoto mzuri dina....Mimi ndio naingia night shift kwenye kibarua changu cha ulinzi wa mageti ya wahindi kule upanga.Aisee nalala vyemaa,,hapa wataanza kunionea wivu
Nishaacha kabisa,nasikia mtukufu anatusaka hadi wambea mi nimeachaaUmeacha umbea siku hizi?
Nalala mwororoooo,,nawe kazi njema my diahaya lala usingizi mnono mtoto mzuri dina....Mimi ndio naingia night shift kwenye kibarua changu cha ulinzi wa mageti ya wahindi kule upanga.
Mimi zaidiMi mwenyewe naanza kuku admire wewe Jo....
Mimi zaidi
Ila huyu 'stalker' ukifanikiwa kuongea nae go easy on her aseee
Nahisi she likes you a lot wallah
At last nimepata kitu ambacho kinanitatiza muda mrefu ,hivi kwanini ukiwa Straight foward unaonekana ni tatizo ?Complications ( to some extent) , ni kitu kizuri . Mwanaume akiwa straight forward utakuwa bored mapema mno .
Ndio raha ya kuwa binadamu hatufanani.nyani is too much yaani.kwangu mimi lakini ! namuona ni mtu flani hivi ambae yaani anajua kila kitu yaani yupo above kila kitu mimi napenda mtu 50/50 fala fala sio fala anajua kumbe hajui ! hivo yaani ila huyu nyani ngabu na yule jamaa naitwa The Boss hawa jamaa hawafai kwa matumizi huwadanganyi ,hupumui
Hakuna anaesema tatizo.At last nimepata kitu ambacho kinanitatiza muda mrefu ,hivi kwanini ukiwa Straight foward unaonekana ni tatizo ?
Nimelipenda jina lako....
Safiii...Mambo zako mrembo v
Yaani hivi vichwa 2 sitakagi kukutana navyo kabisa kwenye maongezi mana vinachosha akili.nyani is too much yaani.kwangu mimi lakini ! namuona ni mtu flani hivi ambae yaani anajua kila kitu yaani yupo above kila kitu mimi napenda mtu 50/50 fala fala sio fala anajua kumbe hajui ! hivo yaani ila huyu nyani ngabu na yule jamaa naitwa The Boss hawa jamaa hawafai kwa matumizi huwadanganyi ,hupumui
Poa mae... Shem hajambo eeSafiii...
Za wewe
[emoji23] acha uoga banaYaani hivi vichwa 2 sitakagi kukutana navyo kabisa kwenye maongezi mana vinachosha akili.