Stamina: Msanii wa kiume kujichubua ni poa tu, hakuna tatizo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Msanii kutoka Moro Town, Stamina amesema haoni tatizo msanii wa kiume kujichubua kwani mtu huyo kabla hajawa msanii alikuwa kawaida ila baada ya kuwa msanii unakuta anachora tatoo na kuvaa hereni na watu hawaongei hivyo hata wakijichubua ni sawa tu tu na hayona haifai kuwasema vibaya
 
ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23] washafanya mengi ya ajabu ajabu wacha wajichubue tu. watuwanapiga picha Msambwanda, Halafu ambao hata hatujawategemea
 
"Tusihalalishe kila kitu mwishowe tutahalalisha visivyohalalishwa" JC simba 2017
 
Ndio maana namshangaa sana mzazi anayemruhusu mtoto kuwa msanii.
 
Hawa sidhani kama marinda yao yako salama
 
Kama wanapiga picha za mata*o sioni tatizo wakaijichubua..kwanza wasanii wa kiume siku hizi hakuna,maana wanavaa nguo za kike wote,suruali zinawabana mapaja utadhani madada poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…