njundelekajo
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 310
- 227
anafaa kuwa mwandishi wa hadith,mistari yake mingi ni ya kiujanjaujanja mno.ila kwa kua mziki wa bongo umehama kwenye thems na contents ...funs wanashabikia mno kava la nje, bongo music is not a matter of unajua bt ni ni isue tu ya wenye mziki wao ''kula nao na hii ndo sababu ya stamina kushain,,kinyume cha hapo wasanii bora wa hiphop tanzania mpaka baada ya miaka kumi ijayo ni FID Q,JAY-MOY,GEEZ MABOV,BABUU WA KITAA,KALA JEREMIAH,MAN SULEE, najua unapenda nimuweke na roma bt nyimbo zake ni sawa na kusoma gazeti la mwanahalisi so yupo kwenye category nyingine SIO LAZIMA UKUBALIANE NA MIMI JAPO KUKAA KIMYA PIA NI BUSARA