Jaman kwan hawa wa lini tena??,hapo namsikiaga huyo mmoja sijui ndio stamina mnamwita
Wapo wana hip hop wengi wa zamani waliofanya vizuri lakini leo hii game yetu imeshikiliwa hasa na hao vijana wanne tajwa hapo juu.Napenda sana kusikia nyimbo zao redioni ila sema ndio hivyo tena wabana'mhhhh' wamekaba sana kiasi kwamba ni nadra kuwasikia redioni lakini sisi wadau tunajua wapi tutazipata tu.Hebu nipe tafakuri yako mdau wa hip hop ni yupi kati ya Stamina,One,Stereo, na Songa unafikiri ni mkali zaidi kwa kuandika na kuimba ikiwezekana weka punch line moja kutoka kwenye nyimbo zao kusuport point yako.
nampa credit Songa..album yake mpya naitafuta kwa udi na uvumba..halafu kwa anayejua ratiba za kilingeni aniambie siku nizame,,much respect Songa.
ni madogo wanaokosa support za redio kubwa kubwa ila wako vema sana...msalimie Ghetto Ambassador.
Stamina simkubali hata kidogo. Wa ukweli ni Mbishi,Darasa,Wa miujiza Uno,Stereo na Songa.
Stamina simkubali hata kidogo. Wa ukweli ni Mbishi,Darasa,Wa miujiza Uno,Stereo na Songa.
nampa credit Songa..album yake mpya naitafuta kwa udi na uvumba..halafu kwa anayejua ratiba za kilingeni aniambie siku nizame,,much respect Songa.
ni madogo wanaokosa support za redio kubwa kubwa ila wako vema sana...msalimie Ghetto Ambassador.