Stamina vs songa..Kuna mtu kakalishwa

Yani hawa wamezidiwa na Rozaree na Tami waliokuja kufreestyle kwenye icho kipindi.
 
Wataalam wa free style ni
Chid beenz
Nick mbish
God zilla
 
Wadau siku zote hili upate freestyle ni lazima uwaguide watoa freestyle kwa kutafuta kitu ambacho utawaambia wafreestyle juu ya hicho kitu, tena unawaambia hapohapo studio labda kwa kuwapa dk 5 hivi. Kwa mfano unawaambia pigeni freestyle juu ya siasa za bongo au juu ya maisha ya bongo au juu ya watu tuliopo studio au chochote ambacho cha kushtukiza labda juu ya pen. Hapo ndo utapata freestyle lakini bila hivyo mtu atashusha mistari yake ambayo alishaandika.
 
Songa mzuri ila bado kidogo kwa stamina kiuandiahi
 

Hapo walikua wana perform nyimbo zao badala ya kufreestyle. Hawana lolote.
 
nilitaka kusema hivo hivo
freestyle mnapewa mada
la sivyo kila mtu kashaandika tayari
 
Jamani mimi mwenzenu , sionagi Mc kama stamina[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

namkubali sana et angekua rapper wa kihindi angeimba Kuch kuch[emoji23][emoji23][emoji23]

he's so amaizing
Mc kama stamina? Unajua vzr tofauti ya Mc na Rapper!?

Ndio maana kuna HarmoRappa na Kuna Nash Mc.
 
Kama mm mkuu namkubaligi sana huyu jamaa japo watu wanadisi sana
mimi huwaga sielewi wanamdiss katika misingi ipi

naishiaga kuwatazama[/QUOTE]
Tunamdiss katika MISINGI MIKUU ya UTAMADUNI WA HIP HOP.
 
Songa ana freestyle ila Stamina anaonekana ni mistari ambayo tayari ilishaandaliwa mapema,

Nawakubali wote.

Ila Kwangu mimi Songa kafunika. [emoji119][emoji119][emoji119]
Kuna dogo mmoja toka mwanza akishinda nazan fiesta michano ni mkali kuliko wote hao
 
Yupo jamaa toka 2015 alikosa uelekeo wa game. Alianza kuimba mambo hayaeleweki.
Juzi kati walifungia track yake I'm sorry JK naona ndoto za game zimeshaanza kumshuka
Hahahahah.. Tuongee ukweli.. Sahivi kaachia jiwe linaitwa SAMMAGOLI kaachja Jana, kwaajili ya Boy Mbwana Ali Samatta
 
Hahahahah.. Tuongee ukweli.. Sahivi kaachia jiwe linaitwa SAMMAGOLI kaachja Jana, kwaajili ya Boy Mbwana Ali Samatta
Yeah nimeliskia ila truly kama unafuatilia hiphop ya bongo vizuri nikk anastress now days.
 
Yani hawa wamezidiwa na Rozaree na Tami waliokuja kufreestyle kwenye icho kipindi.
Unaongea nn we dogo.. Unaguswa eti!? Songa hafananishwi na mkaa kwani yeye ni gesi.. Ukibisha nenda booth uone anavokupaka kinyesi..
 
Wewe unazungumzia "guided freestyle"... Tafuta zaidi
 
Unaongea nn we dogo.. Unaguswa eti!? Songa hafananishwi na mkaa kwani yeye ni gesi.. Ukibisha nenda booth uone anavokupaka kinyesi..

Naongelea freestyle,Songa na Stamina wameenda na mistari yao kichwani wakati Rozaree na Tami walikua wana freestyle bila ya kuingiza mistari ya nyimbo zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…