BENNO URASSA
New Member
- Mar 18, 2011
- 4
- 0
Jamani watanzania hivi hii stand yetu ni sawa kuwa na mlango mmoja tu wa kutoka magari au mpaka litokee balaa humu ndio tuanze kutafuta wa kumlaumu hata ukija alfajiri hapa wakati wa kutoka mabasi na abiria ni fujo tupu sasa je ikitokea tatizo humu ndani si maafa ya kutisha yatatokea hapa stand watu na mali zao?.mimi nashauri iongezwe milango ya kuingia na kutoka na iwe kwa kanda mfano tanga arusha moshi mlango wao nakadhalika.