Stand ya Nzega kujengwa kwa Bilioni 4 ni maajabu

Stand ya Nzega kujengwa kwa Bilioni 4 ni maajabu

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kwa ile picha pale,kwamba stand imegharibu bilioni 4,inashangaza kidogo.
Bilioni 4 ni pesa nyingi sana.Haiwezekani stand ijengwe kwa kiwango kile kwa gharama kubwa namna hii.

Mheshimiwa Rais una moyo mwema sana,lakini kwa mambo haya nakuomba unyanyue fimbo.
Kule kuna bilioni 30 za Lupaso,hakuna jipya,hapa na pale hizi bilioni ni nyingi nyingi,tunanusa kitu.
Tafadhali Rais wangu,sema neno hata la kukemea.Wameshazoea sasa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ile picha pale,kwamba stand imegharibu bilioni 4,inashangaza kidogo.
Bilioni 4 ni pesa nyingi sana.Haiwezekani stand ijengwe kwa kiwango kile kwa gharama kubwa namna hii.

Mheshimiwa Rais una moyo mwema sana,lakini kwa mambo haya nakuomba unyanyue fimbo.
Kule kuna bilioni 30 za Lupaso,hakuna jipya,hapa na pale hizi bilioni ni nyingi nyingi,tunanusa kitu.
Tafadhali Rais wangu,sema neno hata la kukemea.Wameshazoea sasa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tatizo ni kwamba unapeleka kesi ya kondoo kwa fisi, unategemea nini? Ondokaneni na CCM huyo ndiye tatizo la watanzania!
 
Back
Top Bottom