Nimeiona facebook dalali mwingine anainadi kwa 45m.huyu kaongeza zake 3mIpo 30 cash.. If possible ni pm
Hapo ukute mwenye nyumba anataka 30m tu. Mlolongo wa madalali ukaharibu biashara.Nimeiona facebook dalali mwingine anainadi kwa 45m.huyu kaongeza zake 3m
Biashara Ikihusisha Dalali Ujue Wazi Wazi Huenda AkaharibuHapo ukute mwenye nyumba anataka 30m tu. Mlolongo wa madalali ukaharibu biashara.
Ndio tatizo kubwa la sisi waswahili,Hapo ukute mwenye nyumba anataka 30m tu. Mlolongo wa madalali ukaharibu biashara.
Inawezekana ukawa uko sahihi.Biashara Ikihusisha Dalali Ujue Wazi Wazi Huenda Akaharibu
πππ€£π€£π€£Hiyo nyumba imefanyiwa zindiko, tambiko, kafara na kinga?
Kama bado, natoa huduma hizo kwa gharama nafuu sana, njoo pm tuyajenge
π π π π πHiyo nyumba imefanyiwa zindiko, tambiko, kafara na kinga?
Kama bado, natoa huduma hizo kwa gharama nafuu sana, njoo pm tuyajenge
NImeiona insta inauzwa 25m hao wameongeza 10+ zao.Acha kuharibu biashara za watu.Kanunue sasa.Nimeiona facebook dalali mwingine anainadi kwa 45m.huyu kaongeza zake 3m
Watapigwa WatachakaaNImeiona insta inauzwa 25m hao wameongeza 10+ zao.Acha kuharibu biashara za watu.Kanunue sasa.
Unanunua nyumba unalala juu ya paa,dailyBongo ukinunua nyumba huchelewi kukutana na majini
Unafiki unalipa sanaNimefuatilia comments zako nyingi
"Wew jamaa una tabia za kinafiki sana sio siri"
Watoto wa kiume huwa hawana tabia za namna hiyo.
Kama utakwazika sorry sana, ila jua hivo.