Standard ya Sakafu ya Cement

Standard ya Sakafu ya Cement

Druggist

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
439
Reaction score
528
Salaam Wana jukwaa la Ujenzi,wakiwemo wahandisi Ujenzi na Mafundi wote.Nahitaji kujua standard ratio ya Kuweka Sakafu ya Cement ikoje
.Nina Eneo lishawekwa Jamvi la Ukubwa wa SQM 145.Fundi ameniambia Mifuko 10 inatosha.Nimeingiwa na wasiwasi kama yupo sahihi.Nimeamua Kutumia option ya Sakafu hii badala ya Terrazo au Tiles ili pia Kupunguza gharama.Ni Eneo la biashara.Miaka 30 iliyopita nyumba ya familia ilitiwa Sakafu ya Sementi na bado ipo imara.Aidha nimtembelee zile quoters za Magomeni zilijengwa na TBA wametia sakafu ya Cement na IPO vizuri.
Hebu wataalam Sementi ratio standard ni ipi,kwa maana ya Cement:Mchanga:Maji.
 
Huko baadae kidogo hutahitaji kabisa kuweka tiles? Jibu hili ndio litafanya ushauriwe kuweka hiyo sakafu
 
Maamuzi yanafanyika Leo Wakati Options zote zipo mezani na nimechagua hiyo ya Cement.Kuna baadhi ya Nyumba za Makazi nimeweka tiles,na zingine Terrazo,hivyo hapa naamua Kwa mustakabali wa Miaka 30 Ijayo.Kama kizazi kingine wataamua kubadili hiyo Juu Yao.Zamani niliwahi Kuondoa Sakafu ya Cement kwene Nyumba ya Kupanga ili pavutie Kwa nature ya biashara Wakati huo.
 
Salaam Wana jukwaa la Ujenzi,wakiwemo wahandisi Ujenzi na Mafundi wote.Nahitaji kujua standard ratio ya Kuweka Sakafu ya Cement ikoje
.Nina Eneo lishawekwa Jamvi la Ukubwa wa SQM 145.Fundi ameniambia Mifuko 10 inatosha.Nimeingiwa na wasiwasi kama yupo sahihi.Nimeamua Kutumia option ya Sakafu hii badala ya Terrazo au Tiles ili pia Kupunguza gharama.Ni Eneo la biashara.Miaka 30 iliyopita nyumba ya familia ilitiwa Sakafu ya Sementi na bado ipo imara.Aidha nimtembelee zile quoters za Magomeni zilijengwa na TBA wametia sakafu ya Cement na IPO vizuri.
Hebu wataalam Sementi ratio standard ni ipi,kwa maana ya Cement:Mchanga:Maji.
IMG-20240531-WA0046.jpg
IMG-20240621-WA0019.jpg
IMG-20240621-WA0012.jpg
 
Shukrani Sana Mkuu.Hii natembea nayo kama Biblia.Barikiwa sana
 
Back
Top Bottom