samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Jamani waganga na waganguzi nisaidieni huo hapo ugonjwa nimeambiwa umekuwa immune kwa antibiotics kama amoxcline,ethromicyne,cipro,chrolophenicol na nitrotarantoin na mwili sasa una rashes nitumie dawa gani?na nini chanzo chake?
Mzizi mkavu na wengineo msaada hapo haraka
Mzizi mkavu na wengineo msaada hapo haraka