Lakini stratlink ni satelite internet..na ukifunga inakuwa ni stationery, yaani siyo mobile. Bei yake pia iko juu kidogo kuliko stationery internet zinginene unazoweza kupata maeneo ya mijini.
Je ni kwa namna gani inaweza kuharibu soko la mobile internet kama za Voda, airtel, tigo n.k.
Mimi naona watu wana mihemuko kwenye hili swala bila kujua what is offerred by starlink..Watu wanadhani unaweza kupata internet kwenye simu ukiwa unatembea. May be hili linaweza kuja lakini siyo hivi karibuni.
Starlink itafaidisha mazingira ambayo internet connection zingine hazipatikani..kama maeneo ya vijijini