Ndugu zangu poleni na kazi,nawahi kula lakini ngoja nilseme hili kwenu,hivi ni kwanini kila ikiwa wkend na kila ikifika saa 1 kasoro dakika 5 matangazo yao yanakatwakatwa mpaka taharifa za habari ziishe?
Nimefanya utafiti kwa wiki 3 sasa na nimegundua ni mkakati wa makusudi ili kuwakomoa wasiolipa bills za mwezi lakini kwanini wanakata hata kwa zile 5 za bure? hawa wachina si bora tumpe Azam mwenzetu ili asaidie watz wenzie?