Exaud Minja
Senior Member
- Mar 13, 2009
- 100
- 13
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema kutumia Star times inabidi irasimishwe kama indicator ya umaskini
Andaa elf40 nikupe cha dishi kikiwa kimekamilikaWateja tunaotumia antenna Morogoro mbona mnapatikana kwa Bahati na kupotea
Morogoro StarTimes wana tatizo la kiufundi kwenye mnara wao tangu Jana. Wanalifanyia kazi jambo hilo. Nilipiga simu huko kama wewe, na pia nimewatembelea ofisini kwao phisically kujiridhisha, na wamenihakikishia ndani ya kipindi kifupi kichacho huduma zao zitarejea katika hali ya kawaida. Na wamenishauri kufunga satellite dish na sasa napata huduma mujarabu kabisa....Wateja tunaotumia antenna Morogoro mbona mnapatikana kwa Bahati na kupotea
Huyu Mahondaw anajua kila kitu?
Naunga mkono hoja [emoji3][emoji3]Sema kutumia Star times inabidi irasimishwe kama indicator ya umaskini