Star TV haipo kwenye orodha ya channel kwenye king'amuzi cha Azam. Shida nini?

Kakumamoto

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2015
Posts
1,237
Reaction score
1,696
Wakuu habari?

Saa tatu usiku huu nataka kuangalia BBC dira ya dunia lakini star TV haipo kwenye orodha ya channel kwenye king'amuzi cha Azam.

Nyumbani namna gani!?

Nini shida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…