Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,277 Reaction score 8,860 Mar 4, 2014 #1 Nawapongeza kuwa hewani mapema tbc bado wanaduwaa ipi tv ya taifa?tufuatilie bunge kwa pamoja!
J Jeho JF-Expert Member Joined Jul 2, 2011 Posts 5,054 Reaction score 5,511 Mar 4, 2014 #2 Tuko pamoja, naomba leo mi chadema isitake kuchafue kikao kama jana Tindu Lisu alivyotaka kulazimisha hoja.
Tuko pamoja, naomba leo mi chadema isitake kuchafue kikao kama jana Tindu Lisu alivyotaka kulazimisha hoja.
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,277 Reaction score 8,860 Mar 4, 2014 Thread starter #3 Lipumba anasema mwili wa wasira unatia hofu
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,277 Reaction score 8,860 Mar 4, 2014 Thread starter #4 Lipumba amsifia sitta kabla ya kuchaguliwa anasema anaviwango
B Bangoo JF-Expert Member Joined Nov 3, 2011 Posts 5,597 Reaction score 1,013 Mar 4, 2014 #5 Ushaambiwa ni Tbcccm! Sasa unategemea nini hapo...
N nkongu ndasu JF-Expert Member Joined Jan 19, 2013 Posts 22,532 Reaction score 6,624 Mar 4, 2014 #6 Kwani wameshamaliza kutunga kanuni?
Nyikanavome JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 484 Reaction score 178 Mar 4, 2014 #7 Kwa wale walio mbali na TV lakini wana mtandao mzuri wanaweza kuangalia kupitia WAVUTI wavuti: Tizama moja kwa moja "LIVE online" Bunge la Katiba
Kwa wale walio mbali na TV lakini wana mtandao mzuri wanaweza kuangalia kupitia WAVUTI wavuti: Tizama moja kwa moja "LIVE online" Bunge la Katiba
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,277 Reaction score 8,860 Mar 4, 2014 Thread starter #8 nkongu ndasu said: Kwani wameshamaliza kutunga kanuni? Click to expand... Ndio wanaendelea mkuu bado kumaliza
nkongu ndasu said: Kwani wameshamaliza kutunga kanuni? Click to expand... Ndio wanaendelea mkuu bado kumaliza
T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 5,606 Reaction score 7,032 Mar 4, 2014 #9 Nyikanavome said: Kwa wale walio mbali na TV lakini wana mtandao mzuri wanaweza kuangalia kupitia WAVUTI wavuti: Tizama moja kwa moja LIVE online Bunge la Katiba Click to expand... Asante
Nyikanavome said: Kwa wale walio mbali na TV lakini wana mtandao mzuri wanaweza kuangalia kupitia WAVUTI wavuti: Tizama moja kwa moja LIVE online Bunge la Katiba Click to expand... Asante
respect wa boda JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 4,556 Reaction score 3,842 Mar 4, 2014 #10 Wakuu hivi kura ya siri na wazi zimeishia wapi maana ilikuwa j.tatu zitolewe maamuzi sasa nimeona kimya tafadhari kwa yeyote anaye jua
Wakuu hivi kura ya siri na wazi zimeishia wapi maana ilikuwa j.tatu zitolewe maamuzi sasa nimeona kimya tafadhari kwa yeyote anaye jua