nimesikia huyu magamba kaandaliwa aje kugombea ili jeikei avunje baraza lake la mawaziri ampe uwaziri wa nishati na madini ili kama shukrani kwake jeikei anajua ni nini wamefanya pamoja na huyu bwana alipokuwa waziri wa nishati enzi hizo,Rose wa tamu aliambiwa apishe ni mpango uliosukwa na pia hata matokeo watachakachua ili apite lnk wananchi wameshashtuka chadema lindeni matokeo lindeni kura zenu, sio bure mtu katoka madini huko kaacha mijisenti aje kugombea ubunge, wenyewe mtaona.msiniulize source ila habari ndio hiyo.yakitimia mtaniambia.