Star tv wakongwe ,mnashindwa kuonesha live kwa kiwango cha live.

Star tv wakongwe ,mnashindwa kuonesha live kwa kiwango cha live.

DREAMBOY

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
2,117
Reaction score
1,369
Anaebisha aangalie coverage yao sasa kwenye miss tz, hii ni aibu ... Vivuli kwenye picha,mara mwanga unazd mara unapungua. Ni full miyeyusho ,halafu huyo jes k mbona anaongea kama anafanya u-mc na muda unavyozd kwenda naona akuwa mzee. Ngoja nikalale tu hamna namna ,
 
kumbe na wewe ni magumashi tu....
mara nikalale....mara nivumilie.......
mtumza hueleweki
 
Star TV baada ya kujitisha jukumu LA TBC ccm,wanepoteza dira
 
Anaebisha aangalie coverage yao sasa kwenye miss tz, hii ni aibu ... Vivuli kwenye picha,mara mwanga unazd mara unapungua. Ni full miyeyusho ,halafu huyo jes k mbona anaongea kama anafanya u-mc na muda unavyozd kwenda naona akuwa mzee. Ngoja nikalale tu hamna namna ,
Yah star tv, tbc wote hamnaga ktu hata uwe na kingamz HD, channel zao cjui wanatumiag camera za megapixel 5 kma cm ya tecno M3!!!! Kwa tz afadhr ITV, EATV na TV1 ndo zina mng'ao japo vpnd vyao nao bado
 
Yah star tv, tbc wote hamnaga ktu hata uwe na kingamz HD, channel zao cjui wanatumiag camera za megapixel 5 kma cm ya tecno M3!!!! Kwa tz afadhr ITV, EATV na TV1 ndo zina mng'ao japo vpnd vyao nao bado
nmehamia clouds tv , japo nako haipo shwari kwa kiwango cha azam
 
Anaebisha aangalie coverage yao sasa kwenye miss tz, hii ni aibu ... Vivuli kwenye picha,mara mwanga unazd mara unapungua. Ni full miyeyusho ,halafu huyo jes k mbona anaongea kama anafanya u-mc na muda unavyozd kwenda naona akuwa mzee. Ngoja nikalale tu hamna namna ,

Bora hata wao ' wamethubutu ' ila Clouds tv ' wamejiaibisha ' mno na ni muda ' muafaka ' sasa kwao kuacha ' kiherehere ' Waganda wa nchini Uganda husema ' lugezigezi '.
 
Bora hata wao ' wamethubutu ' ila Clouds tv ' wamejiaibisha ' mno na ni muda ' muafaka ' sasa kwao kuacha ' kiherehere ' Waganda wa nchini Uganda husema ' lugezigezi '.
jaman hii show ndo ya kulpia kiinglio laki?
 
Bora hata wao ' wamethubutu ' ila Clouds tv ' wamejiaibisha ' mno na ni muda ' muafaka ' sasa kwao kuacha ' kiherehere ' Waganda wa nchini Uganda husema ' lugezigezi '.
We jamaa mbona umewakalia kooni Clouds??? Star naona maluwe afadhali hata clouds
 
*Camera haizunguki kila pembe
*mtu anaonekana kuanzia juu ya kiuno miguu hatuioni na viatu mpaka warudishe nyuma jukwaa ulione kwa umbali wa mita kadhaa
 
Hawa wana nini leo?! Mbona mikutano ya ccm wanaoneshaga vizuri..kwa kwel leo wameboa
 
Back
Top Bottom