Star TV yuko wapi Angelo Mwoleka

Star TV yuko wapi Angelo Mwoleka

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Wana jamvi sasa ni mwaka wa nne hajaonekana mtangazaji mahiri wa Star TV kutoka Arusha.

Mtangazaji huyu alikuwa ni mahiri katika kipindi cha medani za siasa na hasa wakati wa uchaguzi alikuwa anatuletea matangazo ya matukio halisi wakati wa kutangaza matokeo ya uchaguzi.
 
Siku hizi anaandika sana makala kupitia MAWIO. Unaweza msoma kila Alhamisi makala zake zimejaa uchambuzi yakinifu na makini sana.
 
makala zake huwa sikosi kila alhamis, jamaa alikataa kutumika na CCM/DIALO
 
Ninachokijua kuhusu huyu jamaa, alibahatika kupata zengwe la TBL karibia mitano sasa imepita alivyokuwa Arusha aliripoti taarifa ya hawa TBL (huhusu chupa ya bia) ilikuwa na mende na uchafu mwingine na chupa ilikuwa haijafunguliwa waliokuwa wanatumia hicho kinywaji wakamuita jamaa akapiga picha na kutuma kwa Mhariri wake bila kutoka kwa wiki moja.

Mwoleka akampigia bosi wake akiulizia mbona hiyo story haikutumika? hii ilitokana na kwamba mara nyingi watumiaji wa kinywaji hicho walikuwa walilalamikia hali hiyo kwa muda mrefu. Itakumbukwa kipindi hicho TBL walikuwa wanadhamini sana vipindi vya Sahara Media wamiliki wa (Star TV, RFA, na Kiss Fm) akaelezwa kuwa kutokana na hali ilivyoilikuwa ngumu kuwalipua watu wanaozamini vipindi na hapa ieleweke kuwa Media yeyote inaendeshwa kwa matangazo.

Kilichofuatia jamaa alikomaa kwamba story itoke kwamaana wamevurunda wenyewe, simu ikapigwa Dar es Salaam (makao makuu ya TBL kwa wakati huo sijui sasa) kueleza hali ilivyokuwa ikaulazimu uongozi kuruka Mwanza mara moja na Mwoleka kukatiwa tiketi ya Ndege mara moja (inaelezwa kuwa ndio mara yake ya kwanza kupakia Ndege) ndipo zikatolewa bahasha mbili mlungula wa milioni 2, ila Mwoleka akaikataa na baadae kuikubali kwa shingo upande kuanzia hapo mambo yakaanza kumwendea mrama....akafungua gazeti la Kutoka Arusha lilikuwa la Mkoa wa Arusha tu sijui hadi leo lipo au limekufa.................



Wana jamvi sasa ni mwaka wa nne hajaonekana mtangazaji mahiri wa star tv kutoka Arusha.Mtangazaji huyu alikuwa ni mahiri ktk kipindi cha medani za siasa na hasa wakati wa uchaguzi alikuwa anatuletea matangazo ya matukio halisi wakati wa kutangaza matokeo ya uchaguzi.
 
Huyo ni polisi aliyekosa maadili, alifukuzwa kazi wakati akiwa mwadui.

Kwahiyo ndio maana amefukuzwa toka star tv?Naamini amefukuzwa kwa sababu za kisiasa kutokubali kulishwa cha kuta ngaza,amejitambua!hongera zake.
 
Ninachokijua kuhusu huyu jamaa, alibahatika kupata zengwe la TBL karibia mitano sasa imepita alivyokuwa Arusha aliripoti taarifa ya hawa TBL (huhusu chupa ya bia) ilikuwa na mende na uchafu mwingine na chupa ilikuwa haijafunguliwa waliokuwa wanatumia hicho kinywaji wakamuita jamaa akapiga picha na kutuma kwa Mhariri wake bila kutoka kwa wiki moja.

Mwoleka akampigia bosi wake akiulizia mbona hiyo story haikutumika? hii ilitokana na kwamba mara nyingi watumiaji wa kinywaji hicho walikuwa walilalamikia hali hiyo kwa muda mrefu. Itakumbukwa kipindi hicho TBL walikuwa wanadhamini sana vipindi vya Sahara Media wamiliki wa (Star TV, RFA, na Kiss Fm) akaelezwa kuwa kutokana na hali ilivyoilikuwa ngumu kuwalipua watu wanaozamini vipindi na hapa ieleweke kuwa Media yeyote inaendeshwa kwa matangazo.

Kilichofuatia jamaa alikomaa kwamba story itoke kwamaana wamevurunda wenyewe, simu ikapigwa Dar es Salaam (makao makuu ya TBL kwa wakati huo sijui sasa) kueleza hali ilivyokuwa ikaulazimu uongozi kuruka Mwanza mara moja na Mwoleka kukatiwa tiketi ya Ndege mara moja (inaelezwa kuwa ndio mara yake ya kwanza kupakia Ndege) ndipo zikatolewa bahasha mbili mlungula wa milioni 2, ila Mwoleka akaikataa na baadae kuikubali kwa shingo upande kuanzia hapo mambo yakaanza kumwendea mrama....akafungua gazeti la Kutoka Arusha lilikuwa la Mkoa wa Arusha tu sijui hadi leo lipo au limekufa.................

Intelejensia yangu makini sana inaonesha wewe ndiwe.
 
Aliipigia debe Chadomo uchaguzi uliopita, na baada ya uchaguzi ule alitajirika GHAFULA BIN VUU.....so nadhani alijiengua mwenyewe Sahara Media baada ya kutajirika. Nahisi alipata malipo kutoka kwa waliompa kazi.......Lema anaweza kuwa habari zaidi.
 
Back
Top Bottom