Stara Thomas afumaniwa LIVE!

Stara Thomas akilewa huwa hajitambui na pombe huwa zinashuka chini.

Nimewahi kutana nae Karimjee Hall alichoniambia sikuamini maana nilikuwa namheshimu sana
 
Ndoa ni dushe mwanajukwaa, kama mwanamke hapewi yale mambo yetu lazima itokee hivyo!
 
Kwa sura tu lkn umbo na tabia ziroooo kubwa
 
Huyu Mumewe na hicho kimwili anaendesha dude kubwa namna hii?? Huyu Dada Nilifikiri ni mshika dini sana, kumbe ndio walewale dizaini ya Flora Mbash@

Jamani na huyu ni mume wa ngapi kwa huyu dada?
 
Si kaokoka huyo Stara

Yes aliokoka ila jamii ya walokole haikumpa ushirikiano aliotarajia, so akaamua kususa na kujiengua (sasa sijui aliokoka kwa ajili ya watu au mwenyezi Mungu...jibu analo mwenyewe)....

So, I think haya anayofanya ni kuonyesha hasira zake...its like "nimekuja huko mkanichunia, sasa ngoja niwaonyeshe mimi ni nani"....na kuna mdau humu anasema bi mdashi pia ni mchapa ulabu kwa kwenda mbele.
 
Sasa kaona gari imekuja anaenda kuchungulia...ina maana hakujua "wife" anapewa "sleep well baby"....

Mara ndio angefika tu gari lilipo..anateremka jamaa kama le mutuz....jamaa angejikuta mwenyewe anasema "malizia tu bosi mi nipo hapa nje"
 
Kwa heshima yake kidogo iliyobaki siwezi kusema hapa alicho-demand. Lakini alikuwa amelewa na pombe zikashuka kunako mali adimu😀

ahahahahahahahha...alitaka uka"rare"? akakupa live? ndo mzuri huyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…