Stara Thomas afumaniwa LIVE!

Ila hata uwe kauzu vp kufumaniwa kubaya jamani lazima likushuke.
 
Duh hiyo picha jamaa kamwili kadogo labda hamfikishi bibie ingawa wembamba wa reli huwa wanakuwa wamejaaliwa.
 
Sidhani kama haya mambo yanazungumzika nafasi kwenye ustawi wa Tanzania tuipendayo
 
Jina la Stara maana yake ni 'staha'


whats in a name?

naona watu wengi wana expect a lot from Stara simply sababu jina lake ni stara
 
Matatizo ya vibamia ndo haya!!!

Jamaa jinsi alivyo mwembamba na mrefu, lazima atakuwa na mpini wa haja. Sema afya yake inaonekana mganga njaa tu, ss na mwanamke mwenyewe wokovu kaacha na pombe anakunywa lazma watakiwa mapedejee wake tu.
 
Huyu Mumewe na hicho kimwili anaendesha dude kubwa namna hii?? Huyu Dada Nilifikiri ni mshika dini sana, kumbe ndio walewale dizaini ya Flora Mbash@

Wanawake wanene hamna kitu, mnaogopa miili tu lkn ukiwajulia ni rahisi kuwafikisha kuliko wanawake wembamba.
Watu wanene hisia zao zipo karibu kuliko wembamba. Na huyo stara hawez kupendwa na wanaume wanene, wanaume wengi wanene wanapenda vipotable na wanaume wembamba wengi wanaadmire wanawake wanene, pia wanakuwa compatible kuliko wote wakiwa wanene wanakuwa wanacheza sumo(mieleka) wala co ngono, infact watachoshana na kupakana majasho tu.
 
ila stara ni mzuri......

Sura na kifua tu, lkn kiwiliwili km kabati. Huo mchepuko labda ulitaka kunyonya manyonyo au Stara ndo alimuomba msela akamsugue labda jamaa alikuwa hamaliz nyege zake. Lkn km mwanaume unavpesa vyako vya kuhonga vinakusumbua af una nyege mshindo na unatafuta mchepuko, bora uende vyuoni huko watoto wa kila rika na kila shape, ww tu uandae hela za makuwadi km hujui kusaundisha kuliko kuchukua limke la mtu lenyewe matako yamepigwa pasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…