ila stara ni mzuri......
Sa utasafiri nae kila mahali utaweza
Kimbe ushakuja huku nlitaka nikuite wanguJina la Stara maana yake ni 'staha'
whats in a name?
naona watu wengi wana expect a lot from Stara simply sababu jina lake ni stara
Hata rambo pia imekua tatizo!!!Matatizo ya vibamia ndo haya!!!
Matatizo ya vibamia ndo haya!!!
Mamwanamke ya hiv huwa ni matamu haya!
Matatizo ya vibamia ndo haya!!!
Huyu Mumewe na hicho kimwili anaendesha dude kubwa namna hii?? Huyu Dada Nilifikiri ni mshika dini sana, kumbe ndio walewale dizaini ya Flora Mbash@
ila stara ni mzuri......