beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
MAAFISA wa Wizara ya Elimu na bodi ya usimamizi wa shule ya Starehe Girls Centre, wameifunga baada ya kugundulika visa vya dalili za ugonjwa ambao haujatambulika.
Uamuzi huo unajiri baada ya maafisa hao na wakuu wa shule hiyo kukutana kwa dharura leo Alhamisi baada ya wanafunzi 52 kutengwa wakiwa na dalili za ugonjwa huo.
Mkurugenzi wa Elimu Kanda ya Nairobi, Jared Obiero amesema matarajio ni kwamba shule hiyo itafunguliwa tena Jumatatu, Ocktoba 7.
Wanafunzi wanaougua ugonjwa huo wameonyesha dalili mbalimbali zikiwemo kukohoa sana, kupiga chafya na mafua ya kiwango cha chini, kulingana na taarifa ya Jumatatu kutoka kwa shule hiyo.
Wataalamu wa afya kutoka Idara ya Kushughulikia Umulikaji wa Maradhi Kidharura wamechukua sampuli ili kufanya uchunguzi na utafiti katika Taasisi ya Uchunguzi wa Kimatibabu Nchini (Kemri).
Matokeo yalitarajiwa leo Alhamisi, lakini shule haijaweka wazi kwa wazazi na umma.
Wataalamu wa afya kutoka Wizara ya Afya, Kaunti ya Nairobi na madaktari wa kujitolea kutoka jumuiya ya Starehe wanachunguza hali shuleni humo.
********
Starehe Girls Centre has been closed following outbreak of unknown disease that left 52 students isolated.
Nairobi Regional Director of Education Jared Obiero on Thursday said the school would re-open on Monday, October 7.
The affected learners had a high pitch cough, sneezed and had a low-grade fever, according to a statement issued by the school on Monday.
Doctors from the Integrated Disease Surveillance Response Department collected samples for analysis Kenya Medical Research Institute (Kemri).
The results were expected to be released on Thursday but the school is yet to communicate to parents and the public.
Health officials from Health ministry, Nairobi City County and volunteer doctors from the Starehe community are monitoring the situation at the school in Nairobi.
Uamuzi huo unajiri baada ya maafisa hao na wakuu wa shule hiyo kukutana kwa dharura leo Alhamisi baada ya wanafunzi 52 kutengwa wakiwa na dalili za ugonjwa huo.
Mkurugenzi wa Elimu Kanda ya Nairobi, Jared Obiero amesema matarajio ni kwamba shule hiyo itafunguliwa tena Jumatatu, Ocktoba 7.
Wanafunzi wanaougua ugonjwa huo wameonyesha dalili mbalimbali zikiwemo kukohoa sana, kupiga chafya na mafua ya kiwango cha chini, kulingana na taarifa ya Jumatatu kutoka kwa shule hiyo.
Wataalamu wa afya kutoka Idara ya Kushughulikia Umulikaji wa Maradhi Kidharura wamechukua sampuli ili kufanya uchunguzi na utafiti katika Taasisi ya Uchunguzi wa Kimatibabu Nchini (Kemri).
Matokeo yalitarajiwa leo Alhamisi, lakini shule haijaweka wazi kwa wazazi na umma.
Wataalamu wa afya kutoka Wizara ya Afya, Kaunti ya Nairobi na madaktari wa kujitolea kutoka jumuiya ya Starehe wanachunguza hali shuleni humo.
********
Starehe Girls Centre has been closed following outbreak of unknown disease that left 52 students isolated.
Nairobi Regional Director of Education Jared Obiero on Thursday said the school would re-open on Monday, October 7.
The affected learners had a high pitch cough, sneezed and had a low-grade fever, according to a statement issued by the school on Monday.
Doctors from the Integrated Disease Surveillance Response Department collected samples for analysis Kenya Medical Research Institute (Kemri).
The results were expected to be released on Thursday but the school is yet to communicate to parents and the public.
Health officials from Health ministry, Nairobi City County and volunteer doctors from the Starehe community are monitoring the situation at the school in Nairobi.