Starehe muhimu ni ipi?

Wakuu ninaomba mawazo yenu kunifumbua katika hili. Je, starehe gani muhimu sana hapa duniani ambayo kila mwanadamu anastahili kuifanya/kuipitia kabla ya kifo chake??
Kwa upande wangu starehe yangu kubwa Mapenzi,sijaiona nyengine sio kulewa wala kuvuta bangi,wala unga,wala tafrani yoyote ile baada ya kuolewa ndio hiyo tuuuu.
 
starehe ambazo mtu yeyote awe masikini au tajiri lazima azipate ni:-
1) Usingizi
2) Kula
3) Kujisaidia haja kubwa
4) Tendo la ndoa.
5) Kucheka
Katika hizo,starehe nzuri kuliko zote duniani ambayo mtu yeyote anapata bila kujalisha alivyo ni TENDO LA NDOA.
 
Kumfollow ndg William Samwel John Malecela huko Instagramuni
mkuu we haumpendi malecela nin? mbna unapenda kuleta threads kuhus yeye na kumsema sana? tupe siri y mafanikio yako kumtaja lembabaz.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…