Starehe ya muda mchache, majuto ya muda mrefu

Starehe ya muda mchache, majuto ya muda mrefu

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Za nyieeeee..

Mapenzi, mapenzi, nakuita tena xxx.
Ni starehe ya mda mfupi sana, ila majuto yake yanadumu milele.

Ninapozungumzia majuto, nina maana hii.

Kuna kipindi mtu unashikwa na ugwagwadu wa maana mpaka ukiona midoli unatamani kuichakachua, sasa hali inawapataga wanaume tena inawafanya wanauza mechi kwa timu za ajabu.

Ndo chanzo kikubwa cha kupata magonjwa ya zinaa na kujikuta unafanya mapenzi na mtu usiyempenda kisa nyege za hatari.

Wengi wao leo wanaishi na watu wasiowapenda, kwa sababu ya tamaa za mapenzi.

Ukishafanya tu haya mapenzi na ukapinzi, akili ndo inakuja kichwani, ukiangalia pembeni, umefanya mapenzi na Chizi, Malaya, Shoga
Ndugu yako wa damu, Rafiki yako unamuheshimu.

Yote hayo kisa tamaa, nyege

Mapenzi ni starehe ya muda mfupi sana, tena ya kipumbavu sana, ila majuto yake ni ya mda mrefu sana.

Hakuna kitu kinakera kama umemuonga mwanamke pesa kibao, halafu unaenda kufanya mapenzi tena wavungu walivyokuwa hawana maana wanatoka chapu.

Ndugu zangu hakuna majuto mabaya kama kutembea na mtu usiyempenda yani kila saa ukifikiria unajikuta unatema mate chini, maana umenyonya mdomo wa mtu usiyempenda.

Approximately ndo yule yule..
 
Za nyieeeee..

Mapenzi,mapenzi,nakuita tena xxx.
Ni starehe ya mda mfupi sana,ila majuto yake yanadumu milele.

Ninapozungumzia majuto,nina maana hii.

Kuna kipindi mtu unashikwa na ugwagwadu wa maana mpaka ukiona midoli unatamani kuichakachua,sasa hali inawapataga wanaume tena inawafanya wanauza mechi kwa timu za ajabu.

Ndo chanzo kikubwa cha kupata magonjwa ya zinaa,na kujikuta una fanya mapenzi na mtu usiyempenda kisa nyege za hatari.

Wengi wao leo wanaishi na watu wasiowapenda,kwa sababu ya tamaa za mapenzi.

Ukishafanya tu haya mapenzi na ukapinzi,akili ndo inakuja kichwani,ukiangalia pembeni,umefanya mapenzi na..
Chizi
Malaya
Shoga
Ndugu yako wa damu
Rafiki yako unamuheshimu.

Yote hayo kisa..
Tamaa
Nyege

Mapenzi ni starehe ya mda mfupi sana,tena ya kipumbavu sana,ila majuto yake ni ya mda mrefu sana.

Hakuna kitu kinakera kama umemuonga mwanamke pesa kibao,alafu unaenda kufanya mapenzi tena wavungu walivyokuwa hawana maana wanatoka chapu.

Ndugu zangu hakuna majuto mabaya kama kutembea na mtu usiyempenda yani kila saa ukifikiria unajikuta unatema mate chini,maana umenyonya mdomo wa mtu usiyempenda.

Approximately ndo yule yule..
Ukisikia paaaaa.......
 
Ukishamwaga tuu akili zinakurudia ma-ma_mae ndo utajua hujui😁😁😁😁

Kuna mwanangu mmoja mke wake alienda kujifungua , daah ugwadu ukamnasa , abdala kichwa wazi hataki kuelewa, jamaa ikabdi aingi bar moja yenye chimbo la Malaya akaopoa limoja Mzee, jamaa akalipiga bila ndom, alipomaliza tu akili zikarudi, sku ananisimulia ananiambia duh mwanangu nilikimbia mpak ziwani kwenda kujiosha ili kama ni ukimwi asipate😁😁😁😁

Baada ya miez kama minne alipima akawa Yuko poa, sema jamaa alikoma kabisa hyo michezo.
 
Back
Top Bottom