Starehe ya mwili


Ukiwa na nyege utakumbuka yote hayo!!? Mpk unaagiza bolt si ushakua na matumaini ya kupewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikishiba tu najipigisha simu ya uongo mjomba kameza shoka, nalia km wamama wa Nigeria mwenyewe utaniachia niende msibani nyooooh!!! [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Hujakutana na wajuba.. ambao hizo MBWINU zenu wanazijua..
Formula ni ile ile, kwa mwali kuliwe na kwa kungwi kuliwe, sio kuliwe kwa mwali tu kwa kungwi hapaguswi.
 
Hujakutana na wajuba.. ambao hizo MBWINU zenu wanazijua..
Formula ni ile ile, kwa mwali kuliwe na kwa kungwi kuliwe, sio kuliwe kwa mwali tu kwa kungwi hapaguswi.

Hujatujua wanawake bado, kupigwa P tuamue wenyewe tukigoma hata ufanyeje hupewi mbunye ng’oo

Naweza kukuvulia hata pichu ukaishia kushika tu na usiingize [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu nifunge domo langu nisije kuuza siri za chama [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Kwani huoni wanasiasa wakiwa wanataka jambo lao, mixer barabara kuzitia vijilami, mkimpa kura tu, ujenzi unaishia hapo hapo.[emoji23][emoji1787]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]dah nimekumbuka kuna jambo langu moja mzee baba aliniahidi hajalitimiza mwezi wa nne huu nimekumbuka ile siku alikuwa kwenye high season akawa ananikubalia kila ninacho muomba,hilo moja napigwa chenga kila siku ngoja nimtafutie siku yake amalize jambo langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…