KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,705
- 4,217
Mwamba wa ghana kipaji anacho kizuri tu. Sasa shida ni starehe zimezidi inadaiwa baada ya kutua jiji la starehe za aina zote DAR ES SALAAM, Okrah amekua ni mtu wa maji sana.
Tafiti za kimatibabu ndani ya Simba zimeonesha Okrah ndio mchezaji anaangoza kwa fatique(Kubanwa msuli uwanjani) ndani ya muda mfupi kuwahi kutokea. Fatigue zinasababishwa na mambo mbalimbali kwa Athletics ikiwemo mazoezi hafifu.
Injury pia zilimuandama kwahiyo trip moja uwanjani nyingine hospital. Vilevile Kupigana na wachezaji wenzie.
Okrah ameonekana mara kadhaa akishinda kidimbwi usiku kucha. Inadaiwa wakala wake ametuma Ofa kwa Yanga hivyo anasubiri wakae mezani.
Simba imetangaza kuboresha kikosi kwa kuachana na baadhi ya wachezaji wake akiwemo Mkude, Kyombo, Kapama n.k
Starehe zisizidi kiasi
Nawasilisha
Tafiti za kimatibabu ndani ya Simba zimeonesha Okrah ndio mchezaji anaangoza kwa fatique(Kubanwa msuli uwanjani) ndani ya muda mfupi kuwahi kutokea. Fatigue zinasababishwa na mambo mbalimbali kwa Athletics ikiwemo mazoezi hafifu.
Injury pia zilimuandama kwahiyo trip moja uwanjani nyingine hospital. Vilevile Kupigana na wachezaji wenzie.
Okrah ameonekana mara kadhaa akishinda kidimbwi usiku kucha. Inadaiwa wakala wake ametuma Ofa kwa Yanga hivyo anasubiri wakae mezani.
Simba imetangaza kuboresha kikosi kwa kuachana na baadhi ya wachezaji wake akiwemo Mkude, Kyombo, Kapama n.k
Starehe zisizidi kiasi
Nawasilisha