Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Labda Yanga ya ChumbageniAnaenda Yanga [emoji3]
BokoNani kamloga mwenzie
Mchezaji wa kombe la dunia mbona imekuwa mapema hivyo au tulipigwa wana mthimbazi wenzangu??? But ikawe ndo tumejifunza kuwa maneno bila viteno ni kama safari ya mwehu.. Ahmadi ally alimsifu sana huyu jamaa . nawaomba wana THIMBA mleten tena mchezaji wa UEFAMwamba wa ghana kipaji anacho kizuri tu. Sasa shida ni starehe zimezidi inadaiwa baada ya kutua jiji la starehe za aina zote DAR ES SALAAM, Okrah amekua ni mtu wa maji sana.
Tafiti za kimatibabu ndani ya Simba zimeonesha Okrah ndio mchezaji anaangoza kwa fatique(Kubanwa msuli uwanjani) ndani ya muda mfupi kuwahi kutokea. Fatigue zinasababishwa na mambo mbalimbali kwa Athletics ikiwemo mazoezi hafifu.
Injury pia zilimuandama kwahiyo trip moja uwanjani nyingine hospital. Vilevile Kupigana na wachezaji wenzie.
Okrah ameonekana mara kadhaa akishinda kidimbwi usiku kucha. Inadaiwa wakala wake ametuma Ofa kwa Yanga hivyo anasubiri wakae mezani.
Simba imetangaza kuboresha kikosi kwa kuachana na baadhi ya wachezaji wake akiwemo Mkude, Kyombo, Kapama n.k
Starehe zisizidi kiasi
Nawasilisha
Yanga ndio timu pekee nchini ambayo mchezaji anaeza akatoka klabu usiku na akacheza mechi siku inayofuata na akafanya vizuri.Bahati mbaya Yanga sio okota okota
Ligi ya Bongo ni rahisi sana...kama unajua mpira..unaweza kustarehe na bado ukafanya vizuri uwanjaniClub yangu ya Simba inaanza tena maigizo ya usajili kama msimu uliopita...
Hizi timu zetu zina Siri kubwa sana... Kusema mtu wa west Africa aje kuzuzuka na Bata la Dar??
Kama Kisinda anacheza na ni chaguo la kwanza, Okra atashindwa kucheza?Halafu atacheza namba ya nani pale Yanga!!
Naweza kukubaliana na wewe tubaweza kumpa nafasi ya miezi sita tumuoneTatizo la Okrah hapo Simba sio ulevi bali ni uchawi kwa wachezaji, kwahiyi Israel nae ni mlevi?, Vipi phili, Banda?. Kingine Okrah Karma yakutumika kumfukuza Dejan inamtafuna, Yanga Kama wanataka Winga basi Okrah anafaa.
Ameokotwa Morrison huyu nani?Bahati mbaya Yanga sio okota okota
Naweza kukubaliana na wewe tubaweza kumpa nafasi ya miezi sita tumuoneTatizo la Okrah hapo Simba sio ulevi bali ni uchawi kwa wachezaji, kwahiyi Israel nae ni mlevi?, Vipi phili, Banda?. Kingine Okrah Karma yakutumika kumfukuza Dejan inamtafuna, Yanga Kama wanataka Winga basi Okrah anafaa.
Ligi ya Bongo ni rahisi sana...kama unajua mpira..unaweza kustarehe na bado ukafanya vizuri uwanjani
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Replacement ya foreigner haizibwi na mzawa.Kwahiyo Boko ataendelea kubakia Simba, hakika Simba hatuna dhamira ya mabadiliko.
Unamuacha Okrah then unabakisha Boko.. huu ni upuuzi uliofanya tufe kiume kwneye mechi ya Wydad.. yani team inahitaji matokeo alaf anaingia boko badala ya moses phiri.
Kwa kasi waliyonayo utopolo, tunaweza kuutafuta ubingwa mpaka 2025 tusipokuwa makini. Mabadiliko ndani ya Club lazima yahusishe kutoa wachezaji wazee likes of Boko na Nyoni.. hao ndio wapiga misumari wakubwa
Ongezea na mkude kwenye list ya wanaotakiwa kutoka, ambao pia ni wapiga misumariKwahiyo Boko ataendelea kubakia Simba, hakika Simba hatuna dhamira ya mabadiliko.
Unamuacha Okrah then unabakisha Boko.. huu ni upuuzi uliofanya tufe kiume kwneye mechi ya Wydad.. yani team inahitaji matokeo alaf anaingia boko badala ya moses phiri.
Kwa kasi waliyonayo utopolo, tunaweza kuutafuta ubingwa mpaka 2025 tusipokuwa makini. Mabadiliko ndani ya Club lazima yahusishe kutoa wachezaji wazee likes of Boko na Nyoni.. hao ndio wapiga misumari wakubwa
Mtakuja kuaibika siku ambayo mnasikia Okrah amesainiwaYanga ya sasa siyo zoazoa, usifananishe Yanga hii na vitu vya kipuuzi.
Bocco ni legend.Replacement ya foreigner haizibwi na mzawa.
Kama unamfikiria Bocco kuondoka upo sahihi ila mbadala wake ukumbuke anapaswa awe ni mtanzania
Sasa niambie kuna Striker gani hapa mzawa ambaye unamuona ana makali?
Angalia msimamo wa ligi yetu kisha mtafute Striker mzawa katika list ya wafungaji bora utakutana na Bocco huyo huyo.
Anayefuatia hapo ni Sixtus Sabilo akiwa na goli 8, lakini ukumbuke huyu sio Striker ni winga wa kulia.
Kwa hiyo ukiangalia mpaka unafika mwisho wa list ya wafungaji bora utakuta wote ni mawinga na midfielders. Ambao wote wako chini ya Bocco kwa idadi ya magoli na pia umri nao umeenda, Reliant Lusajo anacheza kwenye 33.
Sixtus Sabilo ana 28 katika umri huu Bocco alifanya makubwa lakini bado unaona hata kwa umri wake wa sasa Bocco bado hajaweza kufikiwa na Sixtus Sabilo
So unapokuja na hoja kuwa kitu fulani kifanyiwe maboresho angalau uwe na mbadala ambao ni bora na sio tu unaongea pasipokuwa na alternative, mwisho wa siku unakosa vyote viwili kwa mihemko.
Kisinda anapangwa na mwalimu. Na ni yeye anayempanga. Na kuna baadhi ya mechi ameonesha impact.Kama Kisinda anacheza na ni chaguo la kwanza, Okra atashindwa kucheza?