😇Saizi ushapata jibu au tukupe muda ufikirie kwanza?
Unaweza kuokota dhahabuBahati mbaya Yanga sio okota okota
au sioBahati mbaya Yanga sio okota okota
Umesema?Bahati mbaya Yanga sio okota okota
Kweli siyo zoa zoaYanga ya sasa siyo zoazoa, usifananishe Yanga hii na vitu vya kipuuzi.
Unasemaje?Huyu jamaa akienda Yanga litakua tatizo kubwa sana kwetu, Bora aende kwao huko au timu nyingine tofauti na Utopolo....
MBONA TUNATAKA KUSAHAU MTITI WA HUYU BWANA BADO MAPEMA SANA..