Starlink katuma maombi hajaruhusiwa. Internet ina speed na gharama nafuu lakini ni ngumu kuruhusiwa kwasababu haiwezi kuzimwa wala kublock Twitter

Starlink katuma maombi hajaruhusiwa. Internet ina speed na gharama nafuu lakini ni ngumu kuruhusiwa kwasababu haiwezi kuzimwa wala kublock Twitter

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Naandika uzi huu kwasababu naona watu wakilipukwa kwa furaha kujiandaa kutumia Starlink, internet yenye kasi, isiyo na kikomo, gharama ndogo na inashika mpaka maporini kama kingamuzi cha dstv / azam

Ni mara ya pili sio mara ya kwanza starlink wanatuma maombi , mara ya kwanza walituma lakini walizungushwa sana, wakaondoka na kuelekea Kenya, majirani fasta wakampa vibali

Starlink ni ngumu kuruhusiwa kwa mazingira yetu kwasababu haiwezi kuzimwa hasa panapotokea maandamano, uchaguzi, n.k. kama tulivyozoea kuona.

Pia kuna kipindi mambo huwa yanapamba moto huko Twitter, ili kuunguza kasi ya majadiliano yanayochochea ukosoaji kuna muda Twitter inapigwa block, Kwa starlink hii itakuwa ngumu sana

Soma Pia: Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?
 
Hivi huwa najiuliza. 5g inakasi kushinda starlink, lakini watu mbona wanaifosi sana starlink kuja nchini wakati Hawa watoa huduma wetu Wana 5g ambayo ni kasi kushinda hiyo starlink?🤔
 
Wapiga dili na mafisadi waliotapakaa kwenye mhimili wa utawala, watatafuta tu namna ya kuukataa huo mtandao, ili tu tuendelee kuumizwa na hawa wahuni wetu wa miaka nenda.
 
Naandika uzi huu kwasababu naona watu wakilipukwa kwa furaha kujiandaa kutumia Starlink, internet yenye kasi, isiyo na kikomo, gharama ndogo na inashika mpaka maporini kama kingamuzi cha dstv / azam

Ni mara ya pili sio mara ya kwanza starlink wanatuma maombi , mara ya kwanza walituma lakini walizungushwa sana, wakaondoka na kuelekea Kenya, majirani fasta wakampa vibali

Starlink ni ngumu kuruhusiwa kwa mazingira yetu kwasababu haiwezi kuzimwa hasa panapotokea maandamano, uchaguzi, n.k. kama tulivyozoea kuona.

Pia kuna kipindi mambo huwa yanapamba moto huko Twitter, ili kuunguza kasi ya majadiliano yanayochochea ukosoaji kuna muda Twitter inapigwa block, Kwa starlink hii itakuwa ngumu sana

Soma Pia: Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?
Shauri yenu Elon na Trump wanaingia madarakani January mtapigwa sanction hadi mtakumbuka Tanzania ni third world country.
 
Hivi huwa najiuliza. 5g inakasi kushinda starlink, lakini watu mbona wanaifosi sana starlink kuja nchini wakati Hawa watoa huduma wetu Wana 5g ambayo ni kasi kushinda hiyo starlink?🤔
Drawbacks
1.5G za mitandao ya simu hazipatikani maeneo yote:---Starlink hata uwe Kijiji Gani unakula 10MB per second
2.Starlink 50GB=50,000/=,yaani 1GB=600Tsh,mitandao ya simu 1 GB=2100/=
3.Staelink ukilipa 135,000/=,Internet infinity unaweza unganisha devices hadi 200
Ok tuchukulie wewe hauna akili kabisa utachagua nini hapo
 
Atapangiwa bei
Hata makampuni yaliyopo yana uwezo wa kutoa huduma kwa bei nafuu
 
suala la twitter sidhani kama hoja, maana wapiga spana wengi hawatatumia hyo starlink
 
Naandika uzi huu kwasababu naona watu wakilipukwa kwa furaha kujiandaa kutumia Starlink, internet yenye kasi, isiyo na kikomo, gharama ndogo na inashika mpaka maporini kama kingamuzi cha dstv / azam

Ni mara ya pili sio mara ya kwanza starlink wanatuma maombi , mara ya kwanza walituma lakini walizungushwa sana, wakaondoka na kuelekea Kenya, majirani fasta wakampa vibali

Starlink ni ngumu kuruhusiwa kwa mazingira yetu kwasababu haiwezi kuzimwa hasa panapotokea maandamano, uchaguzi, n.k. kama tulivyozoea kuona.

Pia kuna kipindi mambo huwa yanapamba moto huko Twitter, ili kuunguza kasi ya majadiliano yanayochochea ukosoaji kuna muda Twitter inapigwa block, Kwa starlink hii itakuwa ngumu sana

Soma Pia: Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwajeina la Starlink Satellite Tanzania Ltd linakinzana kibiashara
Lakini pia Starlink Satellite Tanzania Ltd haiwezi kupewa leseni kwani ipo kampuni nyingine yenye brand kubwa inayotumia jina Starlink Tanzania Ltd na imesajiliwa tokea 2019 na imefanya KAZI na wasanii wakubwa kama Mimi mars,Eric omondi,mpoki,mc pilipili,Roza ree.Ni ngumu kupata kibali na kufanya biashara with the same name.Labda wabasilishe jina.
 
Back
Top Bottom