TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Yaani natumia router ya airtel, na Voda kwa lengo lakuwa na internet ofisini lakini kuna muda mitandao yote tabu lele,leo siku nzima inasuasua tu ,
Nimeamua kutafuta pocket router ya Tigo ndio angalau naweza ku access,wamenikwamisha pm zangu nyau wale,STAR LINK wapewe kibali muone utamu wa kupoteza wateja ili akili ziwakae sawa ,Filho da puta!
Soma Pia: Mitandao ya Simu yadaiwa kuilalamikia Starlink kwa kuongeza ushindani Sokoni
Nimeamua kutafuta pocket router ya Tigo ndio angalau naweza ku access,wamenikwamisha pm zangu nyau wale,STAR LINK wapewe kibali muone utamu wa kupoteza wateja ili akili ziwakae sawa ,Filho da puta!
Soma Pia: Mitandao ya Simu yadaiwa kuilalamikia Starlink kwa kuongeza ushindani Sokoni