STARLINK yapata kibali Nigeria na Mozambiki.

STARLINK yapata kibali Nigeria na Mozambiki.

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Hivi karibuni kampuni ya kiteknolojia ya kusambaza huduma za internet kwa njia ya satellites ya starlink inategemea kuanza kuhudumia nchi hizo tajwa hapo juu. Inatajwa kuwa nchi hizo zitakuwa za kwanza barani Africa kutumia huduma hii.

C.E.O wa starlink bwana Elon Musk alitoa taarifa hiyo ya kupewa ruhusa nchini Nigeria na Mozambique kupitia ukurasa wake wa Twitter leo hii.
Screenshot_20220527-215426.png
 
Tanzania?? au sisi ndio bunn kila kitu.
paypal tu kuruhusu ni shida.
 
Voda
Ttcl
ZantelTigo
Airtel
Smlile
Halotel

Itakuwaje kwenye data?
 
Starlink ni Satellite Internet hao unanunua device kwao unaenda unga kwako hata kijijini huko inakubali,

Hauhitaji line ya simu
Ndo bauliza ni mwanzo wa kuachana na kina voda?
 
Starlink ni Satellite Internet hao unanunua device kwao unaenda unga kwako hata kijijini huko inakubali,

Hauhitaji line ya simu
Kwenye dharura hasa vita kama nchini Ukraine inatumika Toka Russia alipovamia.
 
Ndo bauliza ni mwanzo wa kuachana na kina voda?
Kina Voda ni way better than Starlink, kila siku Tunaimba sisi tupo vizuri sana kwenye Mobile data ila Ngumu wabongo kuelewa. Supakasi ni kama nusu ya Bei ya Starlink (Bei ya marekani ikija huku + kodi)

Tulikuwa Nyuma kwenye Broadband ila sasa hivi pia napo Tunaimprove kwa kasi kubwa sana, TTCL washasambaza Waya za Kutosha Fiber zipo mitaani (sio katikati ya jiji) Majaribio ni Kijitonyama, as cheap as 50,000 unapata 20mbps, kwa laki unapata 40mbps inayostream hadi 4k. Soon Mitaa mingi itakuwa Covered, Kuna Adsl inapatikana maeneo yote yenye Miundombinu ya Simu ya zamani, Hadi huku kwetu Tanga ipo, kuna Zuku na wengineo.
 
Back
Top Bottom