Starlink yatua Zimbabwe

Starlink yatua Zimbabwe

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Starlink’s high-speed, low-latency internet is now available in Zimbabwe!, latest coverage till now!, below ⏬
-Tanzania tunangoja nini?, at the same time, kwa nini haipo South Africa?,
 

Attachments

  • GW324s8WYAABpmj.jpeg
    GW324s8WYAABpmj.jpeg
    36.6 KB · Views: 5
Starlink’s high-speed, low-latency internet is now available in Zimbabwe!, latest coverage till now!, below ⏬
-Tanzania tunangoja nini?, at the same time, kwa nini haipo South Africa?,
sema hii starlink kwa nchi zetu hizi za kimaskini wamefanya utu sana kuweka bei rahisi ya package.

package ya chini kabisa inauzwa ifuatavyo katika baadhi ya nchi: (Bei zimecorvetiwa kwa USD kwa ajili ya comparison)

USA 120 Usd
CANADA 103 Usd
MEXICO UK 99 Usd

JAMAICA 45 Usd
BAHAMAS 55 Usd
ARGENTINA 59 Usd
BRAZIL 33 Usd

BELGIUM 56 Usd
SWITZERLAND 60 Usd
UK 99 Usd

AUSTRALIA 93 Usd
INDONESIA 49 Usd
SINGAPORE 85 Usd
JAPAN 47 Usd
MALAYSIA 51 Usd

ZAMBIA 30 Usd
GHANA 49 Usd
NIGERIA 24 Usd
SOUTH SUDAN 50 Usd
MALAWI 50 Usd
KENYA 50 Usd

HIVYO VYOTE NI VIFURUSHI RESIDENTIAL STANDARD.
Na kuna baadhi ya NCHI hiiki kifurushi kina MINI package yake Nchi kama SPAIN, ITALY, RWANDA

ukiondoa ile bei ya kuagizia ya kwanza hizi bei tayari wengi wanatumia kwa sasa
 
sema hii starlink kwa nchi zetu hizi za kimaskini wamefanya utu sana kuweka bei rahisi ya package.

package ya chini kabisa inauzwa ifuatavyo katika baadhi ya nchi: (Bei zimecorvetiwa kwa USD kwa ajili ya comparison)

USA 120 Usd
CANADA 103 Usd
MEXICO UK 99 Usd

JAMAICA 45 Usd
BAHAMAS 55 Usd
ARGENTINA 59 Usd
BRAZIL 33 Usd

BELGIUM 56 Usd
SWITZERLAND 60 Usd
UK 99 Usd

AUSTRALIA 93 Usd
INDONESIA 49 Usd
SINGAPORE 85 Usd
JAPAN 47 Usd
MALAYSIA 51 Usd

ZAMBIA 30 Usd
GHANA 49 Usd
NIGERIA 24 Usd
SOUTH SUDAN 50 Usd
MALAWI 50 Usd
KENYA 50 Usd

HIVYO VYOTE NI VIFURUSHI RESIDENTIAL STANDARD.
Na kuna baadhi ya NCHI hiiki kifurushi kina MINI package yake Nchi kama SPAIN, ITALY, RWANDA

ukiondoa ile bei ya kuagizia ya kwanza hizi bei tayari wengi wanatumia kwa sasa
Enumerate kwa Sisi wa vifurushi vya 1000-2000/- tunaweza ambulia mb ngapi?
 
Enumerate kwa Sisi wa vifurushi vya 1000-2000/- tunaweza ambulia mb ngapi?
mkuu kwa sasa kama unatumia sana internet sehemu yako kazi iwe nyumbani au kazini ni vema kujiorganise watu 4 hivi mnadaka kwa pamoja mnashare gharama. Watu wengi wanafanya hivi kwenye router/fiber hizi za unlimited.

mchongo unahamia uko.

zile bando zetu za buku , buku 2 inakua kama emergency
 
Hivi nikiwa na Antenna ya starlink hapa Tz siwezi kuwadaka kweli Hawa watu. Mf. Niki subscribe toka Kenya afu nikaja kufunga hapa Tz na niwe Nalipa tokea Kenya. Naomba ushauri wataalam wangu
 
Hili linaumiza sana, mkuu, ukizingatia simu zetu siku hizi sio private, huwa zinasikilizwa kwa siri sana, mtambo wa Jpm haujatupwa upo!, 😂 kuna uzi niliwahi weka hapa, tuepuke kupanga madudu, njama, hila, uhaini na ya aina hiyo!.
Hatari sana . Nchi yetu inapelekwa kusiko kwasabb tumechagua kuongozwa na watu wasio na maarifa, hivyo wanatumia nguvu bila sababu
 
Back
Top Bottom