Stars Fungu la Kukosa Misri

Stars Fungu la Kukosa Misri

kapotolo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2010
Posts
3,727
Reaction score
2,217
Taifa Stars a.k.a JK eleven, wameshindwa hata kupata milioni 40 za mshindi wa tano baada ya kuchapwa na Sudan 2 - 0. Tunaweza nini wandugu?

sio tetesi jamani ni kweli, sorry kwa neno tetesi
 
Naanza kupata wasi wasi na uwezo wa kocha wetu ktk mashindano siriazi, nahisi tunarudi nyuma kama ilivyokuwa kabla ya maximo.
 
Back
Top Bottom