Kiukweli huwezi fiwa ukaonesha furaha,tatizo la watanzania mnaharaka sana ya kila kitu suala hapa ni kujipanga na sio kuhitaji furaha isiyoiwekeza,unawajua algeria walishirki kombe la dunia wapo hoi,misri,nigeria,cameron,africa kucn wapo wapi unavyofikiri unawashinda kwa uwekezaji wa ktk soka?mbona hawajafuzu?wanavilabu vizuri,viwanja vya kutosha,timu za vijana imara,wachezaji wengi wapo kwenye ligi kubwa ulaya stil wameangukia pua hatuna haja ya kulaumu vijana wetu tujipange ipo cku tutafika,tunahaki ya kufurahi cos tumeonesha upinzani but tuna safari fupi tu ya kuyafikia mafanikio na hili litawezekana kama kamati ya ufundi pale tff itaacha ubabaishaji