Wenzenu leo wamesoma msahafu, mtakoma:=))Mungu anapunguza idadi ya mabao kwa namna ajuavyo. Aibu gani hii
Hewalaaa nakushukuru emungu unawapa wahitaji kama Moroco ila vilaza kama Tz we wabanie tu!!
Stars wanatakiwa kutembeza kwanja (buti) angalau
kuna kaheshima fulani katakuwepo.