Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,596
- 1,234
Morrocco 1 Star 1
Tukidraw natoa 20,000 kwa kila mchezaji yaani.mungu anasikia maombi kwa wote! Tukishinda tunaweza kwenda kama best looser
na Morocco na africa ya kati labda tufunge 4, angalia yaliyowakuta South Africamungu anasikia maombi kwa wote! Tukishinda tunaweza kwenda kama best looser
Lazima ufikirie mara mbili mkuu tatizo kubwa la Ngisi sio mkabaji kwa mechi kama hiiHawa sasa nikuwakimbiza wao ndio itawauma zaidi nikuwakimbiza leo kama kushindwa basi tushindwe wote uwanjani hapo sio kuweka aibu wamuweke Ngassa na Jabir waone mambo na Timu iwe Inafunguwa ili pasi zifikiane. Lile Bao si Mchezo wamesikia tu Nyavu Shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!.
Ehehehehehehehe, Pazi. Shwaaaaaaaaaaaaaa!Hawa sasa nikuwakimbiza wao ndio itawauma zaidi nikuwakimbiza leo kama kushindwa basi tushindwe wote uwanjani hapo sio kuweka aibu wamuweke Ngassa na Jabir waone mambo na Timu iwe Inafunguwa ili pasi zifikiane. Lile Bao si Mchezo wamesikia tu Nyavu Shwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!.
na Morocco na africa ya kati labda tufunge 4, angalia yaliyowakuta South Africa
Nnaye-muabudu ni Mmoja tu ambae hazai wala hajazaliwa, Allah.
kuna jukwaa na jukwaa mkuu. sio kila kitu kinaandikwa kila mahali nyie ndo mnachoraga machata mpaka kwenye toilet wall.Ni dk ya 20 Morocco wamepata bao la kwanza kupitia kwa shamakh.