Start up TV Series: Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo

Start up TV Series: Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo

Area 14

Member
Joined
Jun 17, 2022
Posts
53
Reaction score
354
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo

1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya .

2. Wenzetu hawaamini sana kwenye DINI bali ethics (maadili) kwao kusema uongo, kuiba, kudanganya na kufisadi ni makosa ambayo hukumu yake inatoka kwenye nafsi yako mwenyewe kabla ya jela au Dini

3. Hakuna biashara kwenye uso wa dunia ambayo kuianzisha kitu muhimu ni mtaji hakuna nasema tena hakuna tunachokosa waafrica ni purpose na passion tunaanzisha biashara tupate hela ndio maana nyingi zinafeli.

4. Kukosolewa ndio msingi wa mafanilio rafiki yangu it is very dangerous to think you are always right

Mwisho kila mtu anayetamani kuwa mjasiriamali namshauri kutafuta hiyo TV series

IMG_2282.jpeg
 
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo

1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya .

2. Wenzetu hawaamini sana kwenye DINI bali ethics (maadili) kwao kusema uongo, kuiba, kudanganya na kufisadi ni makosa ambayo hukumu yake inatoka kwenye nafsi yako mwenyewe kabla ya jela au Dini

3. Hakuna biashara kwenye uso wa dunia ambayo kuianzisha kitu muhimu ni mtaji hakuna nasema tena hakuna tunachokosa waafrica ni purpose na passion tunaanzisha biashara tupate hela ndio maana nyingi zinafeli.

4. Kukosolewa ndio msingi wa mafanilio rafiki yangu it is very dangerous to think you are always right

Mwisho kila mtu anayetamani kuwa mjasiriamali namshauri kutafuta hiyo TV series

View attachment 3098973
Kwamba mwanaume unakaa unaangalia series mpaka inaisha? Kweli? Mwenyezi Mungu akusamehee sana. HAKIKA
 
Nimeangalia hii series ya wenzetu wa KOREA Nimegundua yafuatayo

1. Wenzetu wana wekeza sana kwenye teknolojia na futuristic/ kutafuta solution ya maisha ya baadae na kugundua teknolojiaa mpya .

2. Wenzetu hawaamini sana kwenye DINI bali ethics (maadili) kwao kusema uongo, kuiba, kudanganya na kufisadi ni makosa ambayo hukumu yake inatoka kwenye nafsi yako mwenyewe kabla ya jela au Dini

3. Hakuna biashara kwenye uso wa dunia ambayo kuianzisha kitu muhimu ni mtaji hakuna nasema tena hakuna tunachokosa waafrica ni purpose na passion tunaanzisha biashara tupate hela ndio maana nyingi zinafeli.

4. Kukosolewa ndio msingi wa mafanilio rafiki yangu it is very dangerous to think you are always right

Mwisho kila mtu anayetamani kuwa mjasiriamali namshauri kutafuta hiyo TV series

View attachment 3098973
Niliwahi tazama series moja ya kichina ilikuwa ya start up pia, jamaa alitengeneza app inataka kufanana whatsapp, then kuna kupitch, investments, ila sasa kilichotokea kuna kampuni nyingine ambayo tayari ilikuwa na jina wakamfuata awauzie ile app yake akagoma, wakaenda kutengeneza app kama yake maana wao tayari walikuwa na jina ili wamwondoe sokoni.
mwisho ilibidi awauzie. yani ile series ilikuwa kama ukweli fulani ambao makampuni giants kama meta, google hufanya kwa startups ndogo. either unatuuzia au kama huuzi tunaleta product kama yako kukuondoa sokoni.
 
Kwamba mwanaume unakaa unaangalia series mpaka inaisha? Kweli? Mwenyezi Mungu akusamehee sana. HAKIKA
Kwani kuna tatizo juu ya hilo?
Au ndio ninyi mmeaminishwa kua mwanaume ni lazima apate shurba, tabu, mateso na apitie dhiki kuu ndio aonekane mwanaume bila hivyo huyp ni pisi kali??

Kuna vitu wewe unavipenda na mwingine havipendi. Kubali kua hatupo sawa.
 
Kwani kuna tatizo juu ya hilo?
Au ndio ninyi mmeaminishwa kua mwanaume ni lazima apate shurba, tabu, mateso na apitie dhiki kuu ndio aonekane mwanaume bila hivyo huyp ni pisi kali??

Kuna vitu wewe unavipenda na mwingine havipendi. Kubali kua hatupo sawa.
muelewesh vzr huy maan anajua kuangalia series anadhan unapotez mda wakat hiy series mtu akiifatilia kwa kina anapat mamb meng na njia nying kuhus biashara
 
muelewesh vzr huy maan anajua kuangalia series anadhan unapotez mda wakat hiy series mtu akiifatilia kwa kina anapat mamb meng na njia nying kuhus biashara
Hawa ndio wale wanaopewa do & don't na celebrities mitandaoni na wanazifata wakiamini ukienda nje ya misingi hiyo basi unakua sio mwanaume.
 
Hawa ndio wale wanaopewa do & don't na celebrities mitandaoni na wanazifata wakiamini ukienda nje ya misingi hiyo basi unakua sio mwanaume.
kujiaminisha mamb ya ajab ndo inapelekea yot hay saw kuangalia series mwanaum ndo unakufa au unabadilik
 
Back
Top Bottom