StarTimes hovyo!

jellyFish

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
316
Reaction score
127
Star Times hawasomeki, ushindani wa biashara umewabwaga. King'amuzi chao 'NO SIGNAL'. Wadau nishaurini nihamie king'amuzi kipi? Hata wakirekebisha nahama. AZAM vipi?
 
mbna startimes hawa jamaa siwapati au wameamia kwenye king'amuzi chao cha continental?
 
Star Times hawasomeki, ushindani wa biashara umewabwaga. King'amuzi chao 'NO SIGNAL'. Wadau nishaurini nihamie king'amuzi kipi? Hata wakirekebisha nahama. AZAM vipi?

kwa kweli na mm nimekoma kuanzia leo natupa kipa kilicho chao- kwa anehitaji star time dish na kingamuz chao anitafute nampa vyote kwa bei nusu
mana nimetumia mwezi mmoja tu ndo nimeanza wa pili nshalipia
 
Yaan kampuni ya dstv ndo wapo serious na kazi. Hata kifurush cha 17000. Kinatosha. Daah. Ingawaje sijajua kwa upande wa easy tv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…