Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
Ligi Daraja la Kwanza (StarTimes League) inatarajiwa kumalizika wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa kwa wakati mmoja katika viwanja mbalimbali nchini, huku Kundi A na C zikisaka vinara watakaopnda Ligi Kuu msimu ujao.
Bodi ya Ligi (TPLB) HII HAPA...
Bodi ya Ligi (TPLB) HII HAPA...