Week mbili zilizopita watoa huduma wa Startimes walinipigia na kuniuliza kwanini nimekaa muda mrefu bila kulipia king'amuzi nikawajibu watoto wakuangalia katuni hakuna hivyo sihitaji hizo channel za kulipia. Wakasema wanafanya upgrading ya software hivyo nisipolipia sitaweza kuona, kuanzia weekend hii signal imeanza kufumbua, napata ujumbe no service, no signal kwa local channels, lakini channel zao za matangazo zinaonekana. Jana umekua unatokea ujumbe this bundle belongs to local channels recharge to continue watching.
Tafadhali naomba ufafanuzi kwa wahusika hivi siku hizi tunalipia local channels? Nakumbuka tuliambiwa na TCRA local channes ni bure, kama kuna mabadiliko tunaomba Startimes watujulishe local Channels tunalipia kila baada ya miezi mingapi? TCRA na Wizara ya habari tunaomba ufafanuzi, kwani kinachotokea ni kero sana.
Tafadhali naomba ufafanuzi kwa wahusika hivi siku hizi tunalipia local channels? Nakumbuka tuliambiwa na TCRA local channes ni bure, kama kuna mabadiliko tunaomba Startimes watujulishe local Channels tunalipia kila baada ya miezi mingapi? TCRA na Wizara ya habari tunaomba ufafanuzi, kwani kinachotokea ni kero sana.