astrologist
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 221
- 268
Kinaitwa Smart '21,000/-' kwa wenye Dish, ila waAntenA ni Uhuru '20,000/-'Kuna uzi wao humu JF japo huwa hawajibu chochote ni kama washautelekeza.
Nadhan kwa sisi watumiaji wa king'amuzi cha dishi ukilipia kifurushi cha 21000 ( kimenitoka jina) utaona mechi zote chief.
Ahsante kwa ufafanuziKinaitwa Smart '21,000/-' kwa wenye Dish, ila waAntenA ni Uhuru '20,000/-'
DSTV ndio bingwa wa HDStartimes , DStv na Azam nani ana picha nzuri zaidi? Nataka nichague king'amuzi cha kulipia nifaidi EURO vizuri