Startox anusurika kuuawa.

Mtoto halali na hela

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
52,160
Reaction score
48,974
Habari nilizozipata toka kwa Startox mwenyewe, ni kwamba amesalimika kuuawa na majambazi baada ya kuvamiwa maeneo ya Mwananyamala. Majambazi hao wamepora simu, pesa na baadhi ya vitu. Source: Startox kwenye Facebook.
 
mkuu usidhanie watu humu tunamfahamu na kuandika maelezo bubu.!
 
huyu ni nani mkuu? ukiwa unateta habari mwishoni bora unaweka wasifu wake au kazi yake inayomfanya kuwa maarufu, kama ni mtangazaji, muigizaji au kivingine maana hilo jina ndio nimelisikia leo
 
Habari nilizozipata toka kwa Startox mwenyewe, ni kwamba amesalimika kuuawa na majambazi baada ya kuvamiwa maeneo ya Mwananyamala. Majambazi hao wamepora simu, pesa na baadhi ya vitu. Source: Startox kwenye Facebook.

Ndo nani!?? naye ni mwandishi au mhariri wa habari!!?? nendeni kwa mwigulu lazima atakuwa na mkanda safari hii ukimuonyesha Lissu akipanga njama
 
Mleta mada mbona umeukimbia uzi wako, jitokeze basi mkuu banaaa tunataka kumjua huyo satoko sijui nani, ndiyo nani huyo?
 
Mleta mada mbona umeukimbia uzi wako, jitokeze basi mkuu banaaa tunataka kumjua huyo satoko sijui nani, ndiyo nani huyo?[/QUOTE]

Labda ni mdogo wake mleta mada...alijisahau..alidhani yupo fcbk...
 
ni msanii jaman aliimba nyimbo na Ali kiba pretty gal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…