MrProsecutor
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 280
- 275
Hi,
Anyone drop any challenge ambayo startups za Bongo/ Africa kwa ujumla zinaface.
Mimi ntaanza na Tamaa, startups founders wengi wa Africa wana tamaa akishaanzisha kitu akapata hela tu bas hiyo kitu inaenda kufa, hawana visions za mbali.
NB: sio wote.
Anyone drop any challenge ambayo startups za Bongo/ Africa kwa ujumla zinaface.
Mimi ntaanza na Tamaa, startups founders wengi wa Africa wana tamaa akishaanzisha kitu akapata hela tu bas hiyo kitu inaenda kufa, hawana visions za mbali.
NB: sio wote.