sinamvuto JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 526 Reaction score 891 Sep 11, 2018 #21 Ngoja nione member walioishi na wanaoishi marekani wanavyokuja kutiririka kujibu hili swali,maana hapa jf kila mtu aidha kaishi au anaishi marekani!
Ngoja nione member walioishi na wanaoishi marekani wanavyokuja kutiririka kujibu hili swali,maana hapa jf kila mtu aidha kaishi au anaishi marekani!
Diesel generator JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 706 Reaction score 661 Sep 12, 2018 #22 Ni kwa sababu aridhi ya washington imeongezwa kwenda baharini, sio asili. Hivyo majengo marefu sio salama.
Ni kwa sababu aridhi ya washington imeongezwa kwenda baharini, sio asili. Hivyo majengo marefu sio salama.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Sep 12, 2018 #23 Nerine said: Stendi kama ya korogwe iyo Click to expand... Pale Kilole 😂
Zionist JF-Expert Member Joined Dec 5, 2017 Posts 1,866 Reaction score 2,996 Sep 12, 2018 #24 Trippier said: kwanini jimbo la washington DC ambapo ndio ipo ikulu ya marekaniii kumetawaliwa na majengo mafupi mafupi ukilinganishaa na miji mingine kama calfornia ,las vergas ambayo nature ya majengo ya maeneo haya ni marefu Click to expand... Hatuko kiuhasama ki hivyo tunaweza hata kujenga ikulu kwa afisa mtendaji wa kijiji, na tuka share ugali na kachumbali na mkuu...
Trippier said: kwanini jimbo la washington DC ambapo ndio ipo ikulu ya marekaniii kumetawaliwa na majengo mafupi mafupi ukilinganishaa na miji mingine kama calfornia ,las vergas ambayo nature ya majengo ya maeneo haya ni marefu Click to expand... Hatuko kiuhasama ki hivyo tunaweza hata kujenga ikulu kwa afisa mtendaji wa kijiji, na tuka share ugali na kachumbali na mkuu...