Statement of Account: GOK 2018... LDC Kujeni Muone

kennedy0000

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
4,349
Reaction score
3,745
Kenya haijui 'tuta, wata, ita.. tuta'..
Ndio hii pesa.

Hot off the shelf. Today's Gazette notice.
Tax revenue za karibu Sh1.7 Trillion. Hio ni mara mbili Tanzania, na bado wanasema GDP yao imetukaribia.

Alafu, in this revenue, muangalie kwa makini pesa ngapi ni aid.. Here we don't rely on donations.
Ningependa sana kuona document kama hii kutoka majirani wetu.



 
Ukiona takwimu kama hizi zinazoeleweka zimeanikwa hadharani na jirani zetu, jipige kofi ndugu yangu, bila shaka lazima itakuwa umezama ndani ya ndoto moja bab kubwa.
 
Ukiona takwimu kama hizi zinazoeleweka zimeanikwa hadharani na jirani zetu, jipige kofi ndugu yangu, bila shaka itakuwa lazima umezama ndani ya ndoto moja bab kubwa.

Kweli. Huko ni muamini anachosema Supremo.
La sivyo, unatupwa korokoroni.
 

Teh teh teh tihiii
kumbe ni hii issue.
lete basi the report of same period for the last year.
Ahaaa haaa haaa
 
Mkikuyu- Akili timamu
, acha utoto, mara sijui Jubilee, wakikuyu sijui wajaluo, hayo ni maneno yako ya kujitungia ya kawaida. Unazeeka na rate kubwa sana mzee. Umesahau juzi ukisema Jwtz itaivamia Kenya kwasababu GoK imemteka Mo? Kabla ya hiyo ukapeana mawaidha ya kigumbaru sijui wanabiashara watumie $ eti una fununu kwamba KES mambo yake kwisha. Hiyo ni baada ya kutuambia tungoje ijumaa flani tujionee wenyewe Kenya ikiporomoka. You need delivarance, kuna mapepo sugu yanakuandama.
 
Naona vilaza wanafungua nyuzi za mapovu sababu ya 17.5% [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jipeni moyo, Ama Jubilee inavyo sema IMF ni ya wajaluo wako na chuki tu na wakikuyu
Wangewaonyesha IMF true figures za value of kshs hapo ingesaidia.
 
Donations are given only to those who have something to offer. Unaweza patea msichana mbovu pesa??πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kila nchi ingependa kupata grant.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Š Kwa taarifa yako Uwanja wa mpira mpya unaojengwa Dodoma to be 2 largest in Africa na the largest mosque in East Africa ni donation kutoka MorroccoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
The all world knows the Kenyan Bank is BLOCK. Hizo figure zakujifurahisha. Ukweli anaujua Uhuru.
 
Sema ukweli baba..IMF ni wajaluo na hawaja tahiri kama wakikuyu..Wacha kufichaficha yalio moyoni..Simama na kabila lako bwana
 
Waite jamaa zako wa huko Turkana waje waone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…