Statement of Results mpaka lini??

Rweye

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,057
Reaction score
7,611
Wana Jf na Watanzania wote walio mstari wa mbele katika harakati mbalimbali za kuiendeleza nchi yetu,poleni na uchovu wa kazi.
Kuna hiki kitu kinaitwa 'Statement of Results' ambacho huwa kinatolewa kama mbadala wa cheti harisi cha matokeo pale inapotakika tena mara moja kwa kila hitaji,hivi ni kwanini NECTA isiwe na utaratibu wa kutoa cheti walau kwa mara ya pili kwa waliopotelewa na vyeti vyao ili kuwapunguzia usumbufu wa hii S.O.R na nenda rudi mbona michosho sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…