Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umezidisha usanii kaka!had UNAANZA KUBOA KIAINA
ndg yangu PJ, hao jamaa kama hawataki kuamini basi we waache hayo ndiyo mazingira ya kazi za watu fulani humu JFBaelezeye..baambiye...Mi namwonea soo huyu Pape ni jamaangu wa karibu sana..Lakini hakika sasa hivi anaenda kubaya!...Pape, Kumbuka ni mara ya ngapi unatengeneza kitu ya zuga ya hivi!
Karibu basi kifungua kinywa naona unanjaa vipi 'wifi' hajakuandalia leo...?
![]()
Ruksa!