Stay tuned with us on JF

umezidisha usanii kaka!had UNAANZA KUBOA KIAINA
 
umezidisha usanii kaka!had UNAANZA KUBOA KIAINA

Baelezeye..baambiye...Mi namwonea soo huyu Pape ni jamaangu wa karibu sana..Lakini hakika sasa hivi anaenda kubaya!...Pape, Kumbuka ni mara ya ngapi unatengeneza kitu ya zuga ya hivi!
 
Babu umeanza kujifunza kutumia photoshop nini?
 
Baelezeye..baambiye...Mi namwonea soo huyu Pape ni jamaangu wa karibu sana..Lakini hakika sasa hivi anaenda kubaya!...Pape, Kumbuka ni mara ya ngapi unatengeneza kitu ya zuga ya hivi!
ndg yangu PJ, hao jamaa kama hawataki kuamini basi we waache hayo ndiyo mazingira ya kazi za watu fulani humu JF
 
Mmmhh kazi kwa Goeff sasa, utakula kwanza ndo uendelee kuboreka ama utaboreka zaidi na kuacha offer ya 'photoshop brakfast' uliyopewa!!
 
Mmmhh kazi kwa Goeff sasa, utakula kwanza ndo uendelee kuboreka ama utaboreka zaidi na kuacha offer ya 'photoshop brakfast' uliyopewa!!
Sijui ameshayaona hayo maziwa na bagia za photoshop?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…